Inavyofanya kazi
Nichangie hurahisisha ukusanyaji wa michango kwa Watanzania popote walipo — hatua nne tu.
1. Anzisha mchango
Jaza kichwa, maelezo, lengo la fedha na picha. Timu yetu huthibitisha ndani ya saa 24.
2. Shiriki link yako
Tuma link kwa WhatsApp, Instagram, SMS au kwenye kikundi cha familia na marafiki.
3. Pokea michango
Wachangiaji hulipa kwa M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money au HaloPesa kwa dakika moja.
4. Toa fedha
Omba malipo kupitia dashibodi yako na fedha hutumwa kwenye namba yako ya simu.